HARRIS AMSHINIKIZA NETANYAHU KUMALIZA MGOGORO WA GAZA, AKISEMA ‘NI WAKATI MWAFAKA SASA’
Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris – ambaye anatarajiwa kuwa mteule wa chama cha Democratic katika uchaguzi wa rais wa Novemba – amefanya kile alichokiita “mazungumzo ya wazi na yenye kujenga” na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu. Akiwa na sauti kali zaidi kuliko Rais Joe Biden, Bi Harris alisema aliweka wazi “wasiwasi wake…
