A Door Of Wonders

Isaya 60:11Malango yako nayo yatakuwa wazi daima;Hayatafungwa mchana wala usiku;Ili watu wapate kukuletea utajiri wa mataifa,Na wafalme wao wakiongozwa pamoja nao. Ili chochote kiweze kutoka kwenye ulimwengu wa roho kuja kwenye ulimwengu wa mwili lazima kuna lango kipite, adui anachofanya ni kuweka vizuizi kwenye lango ili visiweze kukufikia. Kuna vitu vingi ambavyo umemuomba Mungu na…

Read More

Ibada ya Wanawake

Mwanamke… Ile siku uliyokuwa ukiisubiria kwa hamu imefika,!Leo ndio ile siku ambayo tutakuwa na ibada yetu nzuri sana.Umechoka kukaa eneo moja bila kupiga hatua?..basi hii ibada ni maalum kabisa kwa ajili yako. Itaanza saa tisa kamili mchana, hapahapa Reality of Christ, Sinza Mori karibu kabisa na ofisi za TAMWA.Mtumishi wa Mungu Minister Sia Kyando ana…

Read More

TMA WATANGAZA TAHADHARI MVUA ZA ELNINO NCHINI.

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa rasmi utabiri wa msimu wa mvua za Vuli (Oktoba – Desemba) 2026, ikitoa angalizo la msimu huo kuathiriwa kwa kiwango kikubwa na hali ya El Niño yenye nguvu kubwa iliyotokana na joto la bahari kuwa Juu ya Wastani katika Bahari ya Pasifiki, hali itakayochagiza ongezeko la Mvua…

Read More

WITO WATOLEWA SEKTA YA ELIMU KUJENGA UBUNIFU NA UJUZI WA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO.

TANGA, Agosti 17, 2026 Umuhimu wa kuimarisha ufundishaji wa ubunifu katika hatua za awali za elimu umejadiliwa katika kongamano linalofanyika Jijini Tanga, huku ikisisitizwa kuwa ubunifu unaweza kujengwa kupitia mchakato wa kujifunza, kuuliza maswali, kujaribu na kutafuta suluhisho la changamoto. Akizungumza katika kongamano hilo linalofanyika katika Viwanja vya Shule ya Usagara, Dkt. Calvin Swai amesema…

Read More