Ni kwa mara nyingine tena tumepata neema ya kuwa na ibada hii.
Tutakuwa na ibada hii ya A DOOR OF WONDERS Jumamosi ya tarehe 02/03/2024 kuanzia saa nane kamili mchana hapahapa kanisani Reality of Christ, Sinza Mori karibu kabisa na ofisi za TAMWA na itaongozwa na Watumishi wa Mungu Pastor Sunbella Kyando pamoja na Pastor John Sembatwa.
Ni wakati wa shuhuda nyingine tena, ni wakati wa ushuhuda wako tena!
Pia tutakuwa Live kupitia ukurasa wetu wa YouTube wenye jina REALITY OF CHRIST CHURCH na kupitia ROC TV, King’amuzi cha Startimes Antenna, channel number 451.
Usikose!
