Seth

WATANO WAOKOLEWA BAADA YA MAPOROMOKO UFILIPINO

Watu watano wameokolewa, huku wengine saba wakiendelea kutafutwa baada ya maporomoko makubwa ya udongo kuzikumba nyumba kadhaa katika mji wa Baguio, kaskazini mwa Ufilipino. Maporomoko hayo yalitokea Jumapili katika eneo la milimani la Baguio, baada ya mvua kubwa kuendelea kunyesha, hali iliyosababisha udongo kulegea na kuteremka kwa nguvu, na hatimaye kuzikumba nyumba zilizokuwa katika eneo…

Read More

Eng. Hersi Said akubali Yanga haikuwa bora licha ya mataji, aahidi kikosi imara zaidi kwa 2026/27.

Raisi wa Young Africans SC (Yanga) Eng. Hersi Said ametoa tathmini ya wazi ya kampeni ya klabu ya 2025/26, akikiri kwamba licha ya kushinda mataji, utendaji wa jumla wa timu haukukidhi matarajio ya uongozi, wachezaji au mashabiki. Akizungumza huku Yanga ikiendelea na maandalizi ya msimu wa 2026/27, Hersi alifichua kwamba mapungufu ya msimu uliopita yameisukuma…

Read More