Category: Fasting/Mfungo
SIKU TANO ZA MFUNGO
SIKU 5 ZA KUFUNGA NA KUOMBA (DAY 01) “Lakini ukamilifu ukija, yale yasiyo kamili hutoweka.”1 Wakorintho 13:10 NENO Prayer points 1. Bwana Yesu asanta kwa neema iliyo niwezesha kufika na itakayo niwezesha kuumaliza mwezi huu wa sita(nusu mwaka) 2. Neema Yako ikalete ukamilifu kwenye ahadi zote zilizoko kwenye huu mwezi 3. Mungu naomba uvilinde ulivyo…
Siku 5 za Kufunga na Kuomba
SIKU 5 ZA KUFUNGA NA KUOMBA Isaya 55:11 Tunamshukuru sana Mungu kwa ajili ya neema hii aliyotupa kwa mara nyingine tena ya kuwa na mfungo huu, ni wakati wa kumshukuru Mungu kwa ajili ya mwezi huu na kujikabidhi kwake kwa ajili ya mwezi ujao. Tutakuwa na prayer points zifuatazo; Jioni kuanzia saa kumi na moja…
