Mkuu wa Huduma ya Siri Kim Cheatle Ajiuzulu

Mkuu wa Huduma ya Siri ya Marekani Kim Cheatle Ajiuzulu Kufuatia Jaribio la Mauaji la Rais wa Zamani Donald Trump Mkurugenzi wa Huduma ya Siri ya Marekani, Kim Cheatle, amejiuzulu kufuatia jaribio la mauaji ya Rais wa zamani Donald Trump. Alikabiliwa na wito wa kujiuzulu kutoka kwa Wademokrat na Warepublikan baada ya kikao cha kamati…

Read More

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Aagiza Wakuu wa Mikoa na Wilaya Kusimamia Miradi ya Maendeleo

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka Wakuu wa Mikoa na Wilaya kusimamia miradi ya maendeleo katika maeneo yao na kuhakikisha inakamilishwa ili ianze kutoa huduma kwa wananchi. “Kwenye usimamizi wa miradi, hakikisheni mnazo taarifa za utekelezaji; hii ni fursa yenu ya kujua miradi yote tangu mwaka 2021, angalieni miradi gani imepata fedha, na mjiridhishe kama imekamilika….

Read More

Rais wa Kenya ,Mh.William Ruto atoa tamko

Rais wa Kenya ,Mh.William Ruto atoa tamko kuelekea mandamano yanayo Endelea nchini humo kutoka upande wa wapinzani.na Police wametumia mabomu ya machozi kuwatawanya wandamanaji wa upinzani waliokusanyika nje ya ofisi za serikali katika mji mkuu wa nairobi kwajili ya mandamano kwakile Wanacho DAI Wana pinga mfumuko wa bei. “Adamson Bongei” amesema jumamosi jioni kuamkia jumapili…

Read More