HARRIS AMSHINIKIZA NETANYAHU KUMALIZA MGOGORO WA GAZA, AKISEMA ‘NI WAKATI MWAFAKA SASA’

Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris – ambaye anatarajiwa kuwa mteule wa chama cha Democratic katika uchaguzi wa rais wa Novemba – amefanya kile alichokiita “mazungumzo ya wazi na yenye kujenga” na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu. Akiwa na sauti kali zaidi kuliko Rais Joe Biden, Bi Harris alisema aliweka wazi “wasiwasi wake…

Read More

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Aagiza Wakuu wa Mikoa na Wilaya Kusimamia Miradi ya Maendeleo

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka Wakuu wa Mikoa na Wilaya kusimamia miradi ya maendeleo katika maeneo yao na kuhakikisha inakamilishwa ili ianze kutoa huduma kwa wananchi. “Kwenye usimamizi wa miradi, hakikisheni mnazo taarifa za utekelezaji; hii ni fursa yenu ya kujua miradi yote tangu mwaka 2021, angalieni miradi gani imepata fedha, na mjiridhishe kama imekamilika….

Read More

THANKSGIVING SUNDAY

Zaburi 150:4 Msifuni kwa matari na kucheza; Msifuni kwa zeze na filimbi. Kila kiungo cha mwili wako ni cha muhimu katika kumwabudu na kumsifu Mungu Zab‬ ‭150‬:‭6‬ Kila mwenye pumzi na amsifu BWANA. Haleluya. TUNA KILA SABABU YA KUMSIFU, KUMTUKUZA NA KUCHEZA; KULISIFU JINA LAKE BWANA YESU. JUMAPILI HII YA TAREHE 14/07/2024, “HUKU TUKIIMBA NA…

Read More