A Door Of Wonders

Isaya 60:11Malango yako nayo yatakuwa wazi daima;Hayatafungwa mchana wala usiku;Ili watu wapate kukuletea utajiri wa mataifa,Na wafalme wao wakiongozwa pamoja nao. Ili chochote kiweze kutoka kwenye ulimwengu wa roho kuja kwenye ulimwengu wa mwili lazima kuna lango kipite, adui anachofanya ni kuweka vizuizi kwenye lango ili visiweze kukufikia. Kuna vitu vingi ambavyo umemuomba Mungu na…

Read More

Somo: Revolution (Mapinduzi)

Ni Jumapili ya mapinduzi!Ni Jumapili ya kubadilisha kila matokeo ya adui na kumiliki baraka halisi za Mungu, ni Jumapili ya kuondoa kila mapooza kwenye uchumi wako. Kesho kuanzia saa tatu kamili asubuhi tutakuwa na ibada nzuri sana hapa Kanisani Reality of Christ, Sinza Mori karibu kabisa na ofisi za TAMWA, utapata nafasi ya kujifunza Neno…

Read More

Semina ya Neno la Mungu Mwanza

Mwanza Mwanza, upo tayari?? Ni siku tatu tu zimebaki kufikia hii seminar ambayo imebeba majibu ya maswali mengi uliyokuwa ukijiuliza.Tutaenda kujifunza somo zuri sana linaloitwa “Madhabahu zinavyoshikilia uchumi” na kisha tutakuwa na maombezi.Hii sio ya kukosa kabisa, waalike na wengine waambie kwamba katika siku hizi tatu, yaani tarehe 29 hadi 31 mwezi huu tutakutana pale…

Read More