Category: Breaking News
ROC Worshippers Live Recording (Upgrading)
Baada ya kufanya vizuri sana kwenye wimbo wa “Nasogea kwako”, Mungu amewapa tena neema na kibali kingine @rocworshipperz Cha kufanya Live Recording inayoenda kwa jina la UPGRADING.Ni siku ambayo tutaenda kumsifu sana Mungu na kumuabudu maana matendo yake ni makuu mno.Ni siku ambayo utaenda kukutana na breakthrough(upenyo) yako, uponyaji wako, na mengine meeeengi maana Yeye…
Sunday Service
Bwana Yesu Asifiwe! Tunapenda kukukaribisha sana katika ibada hii itakayofanyika siku ya kesho (Jumapili) kuanzia saa tatu kamili asubuhi hapa Reality of Christ, Sinza Mori karibu kabisa na ofisi za TAMWA.Tutakuwa na muendelezo wa somo linaloitwa KUPAMBANUA ROHO, na kesho tutaangalia kipengele cha Jini mahaba(Spiritual husband/wife). Hili limekuwa changamoto kubwa sana kwa watu maana wahanga…
Ibada ya Wanawake
Mwanamke… Ile siku uliyokuwa ukiisubiria kwa hamu imefika,!Leo ndio ile siku ambayo tutakuwa na ibada yetu nzuri sana.Umechoka kukaa eneo moja bila kupiga hatua?..basi hii ibada ni maalum kabisa kwa ajili yako. Itaanza saa tisa kamili mchana, hapahapa Reality of Christ, Sinza Mori karibu kabisa na ofisi za TAMWA.Mtumishi wa Mungu Minister Sia Kyando ana…
48 Wajeruhiwa vibaya Johannesburg
Mlipuko unaodhaniwa kuwa niwa Gesi ya Ardhini Afrika kusini, katika Mji wa Johannesburg Mtaa wa Bree umesababisha kifo cha Mtu mmoja na majeruhi 48 katika mlipuko mkubwa, mlipuko huo umetokea Jana July 19 majira ya Jioni. Msemaji wa Polisi wa Eneo hilo CPFs Alexandra amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kuomba watu wachukue tahadhari ikiwemo…
Rais Samia atoa pungonzi kwa Askofu Rugambwa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Samia Suluhu Hassan Samia_Suluhu_Hassan amempongeza Askofu Mwandamizi wa Jimbo Kuu la Tabora Protase Rugambwa kwa kuteuliwa Kuwa Kardinali. Kupitia Kurasa zake za Mitandao ya kijamii, ameandika Pongezi zake kwa Askofu Rugambwa akimtakia kheri ya kuteuliwa kwake.
