Pesa bado zipo nyie fungeni tu magoli..

Pongezi za Muheshimiwa Rais Dkt.Samia Suluhu hassani kwa @simbasctanzania na @yangascLeo hii Mh Samia suluhu Hassan, katika sherehe za maadhimisho ya miezi miwili ya uongozi wake wa awamu ya sita, ameongea na kusema kuhusu million 5, kwaajili ya kununua magoli ya Simba na yanga, kwa Kila goli Moja bado zipoAmeyasema hayo Leo jijini dar es…

Read More