Shirikisho la soka Tanzania (TFF) limetangaza maamuzi ya awali baada ya marejeo ya kesi ya kimkataba ya Feisal Salum dhidi ya waajiri wake Yanga ambapo imetupilia mbali shauri la upande wa Feisal.
Sakata la Feisal, TFF waongea
Shirikisho la soka Tanzania (TFF) limetangaza maamuzi ya awali baada ya marejeo ya kesi ya kimkataba ya Feisal Salum dhidi ya waajiri wake Yanga ambapo imetupilia mbali shauri la upande wa Feisal.