Fiston kalala mayele anawatanguliza wananchi @yangasc Katika kipindi Cha kwanza wakiwatangulia @asrealbamako_official kutoka guinea ambao wako nyuma ,
Je yanga wata endeleza ubabe wao Katika uwanja wa mkapa au BAMAKO watajitetea??? toa utabiri wako Kwa dakika 45 zilizo baki.
Fiston kalala mayele anawatanguliza wananchi @yangasc
