Sunday Service
Bwana Yesu Asifiwe! Tunapenda kukukaribisha sana katika ibada hii itakayofanyika siku ya kesho (Jumapili) kuanzia saa tatu kamili asubuhi hapa Reality of Christ, Sinza Mori karibu kabisa na ofisi za TAMWA.Tutakuwa na muendelezo wa somo linaloitwa KUPAMBANUA ROHO, na kesho tutaangalia kipengele cha Jini mahaba(Spiritual husband/wife). Hili limekuwa changamoto kubwa sana kwa watu maana wahanga…
